Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Nala Jijini Dodoma mara baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato pamoja na ujenzi wa barabara ya mzunguko wa nje ya Jiji la Dodoma yenye urefu wa km (112.3) tarehe 14 Juni, 2025.
KUMBUKUMBU YA MIAKA 78 YA NAKBA: UBALOZI WA PALESTINA TANZANIA WAONYESHA
FILAMU YA ‘PALESTINE 36’, WASISITIZA MSIMAMO WA HISTORIA NA UTU
-
DAR ES SALAAM, TANZANIA
KATIKA kuadhimisha miaka 78 ya Nakba (Janga la mwaka 1948), Ubalozi wa Dola
ya Palestina nchini Tanzania jana tarehe 16 Mei 2...
1 hour ago


0 Comments