Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea tuzo ya heshima na shukrani kutoka kwa Mwenyekiti wa Chama Cha Wafugaji Tanzania (CCWT), Ndugu Murida Mshota Marocha, mara baada ya kuzindua Mpango wa Miaka Mitano wa Chanjo na Utambuzi wa Mifugo wenye lengo la kulinda afya ya mifugo, kuongeza uzalishaji na kufungua fursa zaidi za biashara ya mifugo katika soko la ndani na nje ya nchi, leo Jumatatu, tarehe 16 Juni 2025 katika Viwanja vya Nanenane, Nyakabindi, Bariadi, Mkoani Simiyu.
SOKO LA SAMAKI KATORO LAKOSA MIONDOMBINU YA MAJI TAKA
-
Wafanyabiashara wa soko la CCM katika mamlaka ya mji mdogo wa Katoro
halmashauri ya wilaya ya Geita wamelalamikia uhaba miundombinu ya
kutiririshia maji ...
1 hour ago


0 Comments