Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea tuzo ya heshima na shukrani kutoka kwa Mwenyekiti wa Chama Cha Wafugaji Tanzania (CCWT), Ndugu Murida Mshota Marocha, mara baada ya kuzindua Mpango wa Miaka Mitano wa Chanjo na Utambuzi wa Mifugo wenye lengo la kulinda afya ya mifugo, kuongeza uzalishaji na kufungua fursa zaidi za biashara ya mifugo katika soko la ndani na nje ya nchi, leo Jumatatu, tarehe 16 Juni 2025 katika Viwanja vya Nanenane, Nyakabindi, Bariadi, Mkoani Simiyu.
Rais Samia: Vijana Ndio Injini ya Serikali, Hatma ya Tanzania Ipo Mikononi
Mwenu
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema
vijana ndio nguzo kuu ya uendeshaji wa Seri...
12 hours ago


0 Comments