Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Waziri Mkuu wa Italia Mhe. Giorgia Meloni wakati alipowasili katika Viwanja vya Villa Doria Pamphilj Jijini Roma nchini Italia kushiriki Mkutano wa Ubia wa Maendeleo kati ya Bara la Afrika na Serikali ya Italia (Mattei Plan) pamoja na Mpango wa Ulaya (Global Gateway) unaofanyika leo tarehe 20 Juni 2025. Kushoto ni Rais wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya Mhe. Ursula Von der Leyen.
MAJONZI TANGA :Rais Samia amlilia maestro Stephen Hiza aliyetunga Tanzania
Nchi ya Furaha 1967
-
Na MASHAKA MHANDO, Tanga
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,
amepokea kwa majonzi makubwa kifo cha nguli wa muziki wa d...
2 hours ago




0 Comments