KAMISHNA MPYA NCAA ABDULRAZAQ BADRU AANZA KAZI RASMI

Kamishna  Mteule wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro NCAA Abdul Razaq Badru (kushoto) ameanza kazi  rasmi leo tarehe 3 Juni 2025,kulia  aliyekuwa Kamishna wa NCAA Dkt. Elirehema Doriye akikabidhi ofisi  katika hafla fupi iliyofanyika Makao Makuu ya Ofisi za NCAA zilizopo Karatu  Mkoani Arusha ambapo ataanza majukumu  yake kufuatia uteuzi  uliofanywa na Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 26 Mei 2025.

Post a Comment

0 Comments