Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Rais na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Afrexim Prof. Benedict Okey Oramah. Mazungumzo hayo yamefanyika kando ya Mkutano wa 32 wa Benki ya Afrexim unaofanyika Abuja nchini Nigeria leo tarehe 26 Juni 2025.
SONGEA: MRADI WA MIJI 28 WAFIKIA ASILIMIA 6.5, WALENGA KUONDOA CHANGAMOTO
YA MAJI.
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na usafi wa Mazingira Songea
SOUWASA, Mhandisi Patrick Kibasa, amesema kuwa mradi mkubwa wa maji
unaotekelezwa...
53 minutes ago



0 Comments