Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. John Emmanuel Nchimbi akizungumza jambo na Mwandishi mkongwe, Mwenyekiti Mstaafu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF),Ndugu Absalom Kibanda akiwa ofisini kwake, Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma, leo Ijumaa , tarehe 27,Juni 2025.
WAKAZI WA MAJENGO NA AMANI MBEZI KWA MSUGULI WAILALAMIKIA DAWASA KWA KUKOSA
HUDUMA YA MAJI KWA MUDA MREFU
-
*Wakazi wa Majengo na Amani Mbezi kwa Msuguli wakiwa wamepanga foleni
kuchota maji kwa mmoja ya mwananchi wa mtaa wa pili.*
*Dar es Salaam Januari 6, 2025:...
3 hours ago

0 Comments