Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. John Emmanuel Nchimbi akizungumza jambo na Mwandishi mkongwe, Mwenyekiti Mstaafu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF),Ndugu Absalom Kibanda akiwa ofisini kwake, Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma, leo Ijumaa , tarehe 27,Juni 2025.
Serengeti Apple Yawasafirisha Mastaa Zaidi ya 30 Kwa Ndege Binafsi kwa
Uzinduzi wa Siku Tatu Hifadhi ya Serengeti
-
Serengeti. Serengeti Premium Apple imeandika historia kwa kuwasilisha
uzinduzi wa kipekee ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, ikiweka alama
kama kinywa...
24 minutes ago

0 Comments