Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. John Emmanuel Nchimbi akizungumza jambo na Mwandishi mkongwe, Mwenyekiti Mstaafu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF),Ndugu Absalom Kibanda akiwa ofisini kwake, Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma, leo Ijumaa , tarehe 27,Juni 2025.
Serikali Yaanza Mazungumzo na Mwekezaji Mpya Kujenga Barabara ya Haraka
Dar–Chalinze
-
SERIKALI imethibitisha kuwa ipo katika mazungumzo na mwekezaji mwingine
kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa barabara ya haraka
(expressway) k...
12 minutes ago

0 Comments