Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. John Emmanuel Nchimbi akizungumza jambo na Mwandishi mkongwe, Mwenyekiti Mstaafu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF),Ndugu Absalom Kibanda akiwa ofisini kwake, Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma, leo Ijumaa , tarehe 27,Juni 2025.
THBUB yafika kijiji cha Dunga kuwapa elimu ya haki za binadamu.
-
*Naibu Sheha wa Shehia ya Dunga Kiembeni, Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini
Unguja, Bw. Kesi Makame Mussa akiwakaribisha wanashehia wa kijiji hicho
(hawapo ...
1 hour ago

0 Comments