Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. John Emmanuel Nchimbi akizungumza jambo na Mwandishi mkongwe, Mwenyekiti Mstaafu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF),Ndugu Absalom Kibanda akiwa ofisini kwake, Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma, leo Ijumaa , tarehe 27,Juni 2025.
Ilala Yajipanga Kuwa Kinara wa Miji ya Kijani
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.*
*MKUU wa Wilaya ya Ilala, Mheshimiwa Edward Mpogolo, amewataka wakazi wa
wilaya hiyo kuonyesha uzalendo wa kweli kwa ...
1 hour ago

0 Comments