Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro kwa ajili ya kushiriki Mazishi ya aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Mzee Cleopa David Msuya yatakayofanyika Kesho (13 Mei, 2025) Kijijini kwake Wilaya ya Mwanga Mkoa wa Kilimanjaro.
Airtel Mwaka Umenyooka yamgusa BARAKA MALIMA Mkazi wa Katoro - GEITA
-
Mkazi wa Katoro, Baraka Malima, amejishindia pikipiki aina ya TVS baada ya
kuibuka mshindi katika promosheni ya Airtel Tanzania ijulikanayo kama
Airtel M...
42 minutes ago



0 Comments