Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Oktoba 19, 2024 jijini Dar es salaam amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson.
RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE.DK.HUSSEIN MWINYI
AHUTUBIA MAHAFALI YA 12 YA ZANZIBAR SCHOOL OF HEALTH UWANJA WA MAO ZEDONG
-
*RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akiwahutunuku Wahitimu wa Skuli ya Afya Zanzibar “Zanzibar School of
He...
19 minutes ago
0 Comments