Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Oktoba 19, 2024 jijini Dar es salaam amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson.
WANAOPINGA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA WALIKUWA WAKIWANYONYA WAKULIMA –
LONDO
-
Serikali imesema bado kuna watu wanaopinga mfumo wa stakabadhi za ghala kwa
sababu zamani walikuwa wakinufaika kwa kuwanyonya wakulima kupitia biashara
y...
3 hours ago


0 Comments