RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AZINDUA JENGO LA HALMASHAURI MBINGA

Jengo la Ofisi ya Mkurugenzi  Mtendaji Halmashauri ya Mbinga Mkoani Ruvuma lililozinduliwa leo 24,Septemba na Mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan. 
Rais Dkt. Samia Afungua Jengo la Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga 24 Septemba, 2024.
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi mbalimbali  mara baada ya kuzindua jengo la Halmashauri ya Mbinga  Mkoani Ruvuma leo 24 Septemba,2024 

Post a Comment

0 Comments