Jengo la Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Mbinga Mkoani Ruvuma lililozinduliwa leo 25Septemba na Mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.
Rais Dkt. Samia Afungua Jengo la Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga 25 Septemba, 2024.
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi mbalimbali mara baada ya kuzindua jengo la Halmashauri ya Mbinga Mkoani Ruvuma leo 25 Septemba,2024
Rais Samia: Vijana Ndio Injini ya Serikali, Hatma ya Tanzania Ipo Mikononi
Mwenu
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema
vijana ndio nguzo kuu ya uendeshaji wa Seri...
13 hours ago



0 Comments