Jengo la Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Mbinga Mkoani Ruvuma lililozinduliwa leo 24,Septemba na Mhe.Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan.
Rais Dkt. Samia Afungua Jengo la Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga 24 Septemba, 2024.
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi mbalimbali mara baada ya kuzindua jengo la Halmashauri ya Mbinga Mkoani Ruvuma leo 24 Septemba,2024
NAIBU WAZIRI CHUMI NA BALOZI WA JAPAN WAKUTANA JIJINI DODOMA
-
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.
Cosato Chumi akisalimiana na Balozi wa Japan nchini Tanzania Mhe. Yasushi
Misawa wal...
1 hour ago
0 Comments