Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyesimama akishukuru mara baada ya kusomewa Dua katika Msikiti Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Mkoani Ruvuma leo tarehe 27 Septemba, 2024.
WANAOPINGA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA WALIKUWA WAKIWANYONYA WAKULIMA –
LONDO
-
Serikali imesema bado kuna watu wanaopinga mfumo wa stakabadhi za ghala kwa
sababu zamani walikuwa wakinufaika kwa kuwanyonya wakulima kupitia biashara
y...
1 hour ago


0 Comments