RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN ASOMEWA DUA TUNDURU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyesimama akishukuru mara baada ya kusomewa  Dua katika Msikiti Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Mkoani Ruvuma leo tarehe 27 Septemba, 2024.

Post a Comment

0 Comments