Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyesimama akishukuru mara baada ya kusomewa Dua katika Msikiti Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Mkoani Ruvuma leo tarehe 27 Septemba, 2024.
RAIS DKT. SAMIA AFUNGA KIKAO MAALUM CHA BARAZA KUU LA JUMUIYA YA WANAWAKE
WA TANZANIA (UWT) TAIFA
-
*Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi pamoja
Wajum...
5 hours ago
0 Comments