Kutoka kushoto, Balozi wa Kuwait nchini Tanzania Mh. Jasem Al-Najem, Naibu Waziri wa sera, Bunge, Kazi, vijana, ajira na walemavu Mh Stella Ikupa, na Mwenyekiti wa Dr Amon Mkoga Foundation. Ubalozi wa Kuwait umetoa vyerehani, fimbo za kutembelea walemavu na baiskeli za walemavu vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni 18 kwa watu wenye mahitaji maalum kutoka mkoa wa Tabora.
TRA Yasisitiza Maadili kwa Watumishi, Wanaokiuka Kuchukuliwa Hatua
-
DAR ES SALAAM – Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema itaendelea kutoa
elimu kwa watumishi wake kuhusu maadili ya kazi sambamba na kuchukua hatua
kali...
3 hours ago

0 Comments