MMOJA
wa wataalamu wa kuchunguza matatizo ya masikio,Stuart Specer kutoka
Taasisi ya Starkey Hearing Foundation ya nchini Marekani inayoendesha
kliniki ya masikio aakitaniana na mkazi wa Arusha,Ally Abdulrahman
aliyewahi kuishi nchini humo ambaye kwa sasa ana matatizo ya kusikia
kwenye kliniki inayofanyika kwenye viwanja vya Hoteli ya Kibo
PalaceJijini Arusha jana
Wanafunzi
wa Chuo Kikuu cha Mount Meru na chuo cha Biashara cha Arusha (IAA)
waliokuja kujitolea wakisaidia kutoa huduma mbalimbali kwenye kliniki ya
masikio iliyoratibiwa kwa pamoja kati ya Montage Limited na Starkey
Hearing Foundation inayofanyika kwenye viwanja vya Hoteli ya Kibo Palace
jijini Arusha jana
Simbachawene ataja maagizo ya Rais Samia
-
· Jeshi la Polisi kuwa lakutoa huduma
· Taratibu za ukamataji mtuhumiwa kurekebishwa
· Asisitiza watanzania kuipenda nchi yao
Na Mwandishi Wetu,DODOMA
Wa...
FALIALA MBUTU KUZIKWA JUMATATU DISEMBA 29
-
Mazishi ya mwanamuziki Faliala Mbutu ambaye alikua mume wa mwanamuziki
mkongwe wa muziki wa dansi Luiza Mbutu yatafanyika Jumatatu tarehe
Desemb...
Waziri Ndalichako azindua chuo kipya cha VETA Kagera
-
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amezindua
chuo kipya cha VETA Ndolage kilichopo Kamachumu Wilaya ya Muleba mkoani
Kagera k...
0 Comments