Warembo wanaoshiriki shindano la Redd's
Miss Tanzania 2014 leo wameingia siku ya pili ya kambi yao jijini Dar es
Salaam na baada ya semina asubuhi na mapumziko ya mchana jioni hii
wamefanya mazoezi katika chumba maalum cha mazoezi 'Gym', ungana na
mpigapicha wa Father Kidevu Blog katika picha mbalimbali za warembo hao
katika kambi yao.
UJENZI WA KIWANDA CHA KUCHAKATA PAMBA SIMCU (2018) LTD WAFIKA ASILIMIA 75
-
*Naibu Mrajis - Uhamasishaji, Consolata Kiluma, amekipongeza chama kikuu
cha Ushirika SIMCU (2018) LTD, kwa usimamizi wa ujenzi wa ujenzi na
ukarabati w...
11 minutes ago






0 Comments