Redd's Miss Kinondoni 2014, Maria Shila (klatikati) akipunga mkono baada
ya kutangazwa kuwa ndie mshindi wa taji hilo na kuwaongoza warembo
wengine 15 waliokuwa wakiwania taji hilo. Wengine mshindi wa pili Camila
Cindy John (kulia) na mshindi wa tatu Queenlatifa Hasim. Shindano hilo
lilifanyika Dar es Salaam usiku wa kuamia jana. (Picha na Father Kidevu
Blog).
BALOZI MTEULE MAULIDAH HASSAN AAGWA NA WAZIRI KOMBO, AAHIDI KUIMARISHA
DIPLOMASIA YA TANZANIA NA OMAN
-
Balozi Mteule wa Tanzania nchini Oman, Mheshimiwa Maulidah Hassan, amefanya
ziara ya kumuaga Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,
Mhe...
2 hours ago

0 Comments