Rais Jakaya Mrisho
Kikwete akitumia simu yake ya mkononi kuwaonesha vivutio vya kitalii wasanii
nyota wa muziki na filamu wa Kimarekani walioko nchini kwa ziara ya kutoa
mafunzo kwa wasanii wa Tanzania. Wasanii hao ni Terrence J.
(Jenkins), mwendeshaji wa kipindi cha muziki kwenye televisheni ya E!
Entertainment, mwigizaji wa filamu na mtunzi wa vitabu na Revi Shelton,
Mtendaji wa Shughuli za Muziki katika Kampuni ya Outlet Media
Group. Wengine ni Chaka Zulu, Mtendaji wa Shughuli za Muziki kutoka Kampuni
ya Disturbing The Peace Records na Davis Banner, mwigizaji, mwanamuziki, mtunzi
na msimamizi wa shughuli za muziki ambaye amepata kushinda tuzo maarufu ya
Grammy.(PICHA NA IKULU)
MHE. PINDA ,SEOM WAKUTANA NA MACHIFU WA BOTSWANA
-
Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini
mwa Afrika (SADC-SEOM) Mhe. Mizengo Pinda na ujumbe wake wa SEOM wamekutana
na k...
10 hours ago
0 Comments