Rais Jakaya Mrisho
Kikwete akitumia simu yake ya mkononi kuwaonesha vivutio vya kitalii wasanii
nyota wa muziki na filamu wa Kimarekani walioko nchini kwa ziara ya kutoa
mafunzo kwa wasanii wa Tanzania. Wasanii hao ni Terrence J.
(Jenkins), mwendeshaji wa kipindi cha muziki kwenye televisheni ya E!
Entertainment, mwigizaji wa filamu na mtunzi wa vitabu na Revi Shelton,
Mtendaji wa Shughuli za Muziki katika Kampuni ya Outlet Media
Group. Wengine ni Chaka Zulu, Mtendaji wa Shughuli za Muziki kutoka Kampuni
ya Disturbing The Peace Records na Davis Banner, mwigizaji, mwanamuziki, mtunzi
na msimamizi wa shughuli za muziki ambaye amepata kushinda tuzo maarufu ya
Grammy.(PICHA NA IKULU)
𝗛𝗔𝗧𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗞𝗨𝗕𝗔𝗟𝗜𝗔𝗡𝗢 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗪𝗔𝗝𝗘𝗡𝗚𝗘𝗔 𝗨𝗪𝗘𝗭𝗢
𝗪𝗔𝗧𝗨𝗠𝗜𝗦𝗛𝗜 𝗪𝗔 𝗨𝗠𝗠𝗔 𝗪𝗔 𝗧𝗔𝗡𝗭𝗔𝗡𝗜𝗔 𝗡𝗔 𝗞𝗘𝗡𝗬𝗔
𝗬𝗔𝗦𝗔𝗜𝗡𝗜𝗪𝗔
-
Hati ya makubaliano ya mashirikiano ya kuwajengea uwezo watumishi wa umma
wa Tanzania na Kenya imesainiwa kati ya Dkt. Ernest Francis Mabonesho,
Mt...
5 hours ago

0 Comments