Rais Jakaya Mrisho
Kikwete akitumia simu yake ya mkononi kuwaonesha vivutio vya kitalii wasanii
nyota wa muziki na filamu wa Kimarekani walioko nchini kwa ziara ya kutoa
mafunzo kwa wasanii wa Tanzania. Wasanii hao ni Terrence J.
(Jenkins), mwendeshaji wa kipindi cha muziki kwenye televisheni ya E!
Entertainment, mwigizaji wa filamu na mtunzi wa vitabu na Revi Shelton,
Mtendaji wa Shughuli za Muziki katika Kampuni ya Outlet Media
Group. Wengine ni Chaka Zulu, Mtendaji wa Shughuli za Muziki kutoka Kampuni
ya Disturbing The Peace Records na Davis Banner, mwigizaji, mwanamuziki, mtunzi
na msimamizi wa shughuli za muziki ambaye amepata kushinda tuzo maarufu ya
Grammy.(PICHA NA IKULU)
JAB YAONYA WAAJIRI KATIKA VYOMBO VYA HABARI KUZINGATIA SHERIA KUEPUKA
MIGOGORO YA KISHERIA
-
Na Mwandishi Wetu
Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewasisitiza waajiri kwenye
vyombo vya habari nchini kuzingatia kikamilifu masharti y...
41 minutes ago

0 Comments