Home
About
Contact
Home-icon
HABARI
_KITAIFA
_KIMATAIFA
JAMII
AFYA
SIASA
MICHEZO
BURUDANI
KUHUSU SISI
MAWASILIANO
Home
TASWIRA KUTOKA BUNGE LA KATIBA MJINI DODOMA LEO.
TASWIRA KUTOKA BUNGE LA KATIBA MJINI DODOMA LEO.
Khadija Kalili
11:29 AM
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta(kulia) akibadlishana mawazo Mjumbe wa Bunge hilo Rashid Mtuta (kushoto) leo mjini Dodoma kabla ya kuanza kwa kikao cha asubuhi.
Naibu Katibu wa Bunge Maalum ambaye ni Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Thomas Kashillah (mwenye miwani) akibadlishana mawazo na Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba leo mjini Dodoma kabla ya kuanza kwa kikao cha asubuhi.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakiwasili katika ukumbi wa Bunge leo mjini Dodoma kwa ajili ya kuendelea na mjadala kuhusu maboresho ya Sura ya Kwanza na Sita ya Rasimu ya Katiba mpya.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Profesa Costa Mahalu (kushoto) na Profesa Mark Mwandosya (kulia) wakibadilishana mawazo leo mjini Dodoma kabla ya kuanza mjadala kuhusu maboresho ya Sura ya Kwanza na Sita ya Rasimu ya Katiba mpya.
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta akiwasili kwenye ukumbi wa Bunge kwa ajili kuendesha na kusimamia mjadala kuhusu maboresho ya Sura ya Kwanza na Sita ya Rasimu ya Katiba mpya.leo mjini Dodoma kabla ya kuanza kwa kikao cha asubuhi.
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta akiongoza dua ya kuliombea Bunge na Taifa kabla ya kuanza mjadala kuhusu maboresho ya Sura ya Kwanza na Sita ya Rasimu ya Katiba mpya.leo mjini Dodoma kabla ya kuanza kwa kikao cha asubuhi.
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta akitoa ufafanuzi kwa wajumbe wa Bunge hilo leo mjini Dodoma wakati wa mjadala kuhusu maboresho ya Sura ya Kwanza na Sita ya Rasimu ya Katiba mpya.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakishiriki dua ya kuliombea Bunge hilo leo mjini Dodoma kabla ya kuanza mjadala kuhusu maboresho ya Sura ya Kwanza na Sita ya Rasimu ya Katiba mpya. picha na Bunge Maalum la Katiba- Dodoma
Post a Comment
0 Comments
ZINAZOBAMBA ZAIDI
HALMASHAURI WILAYA YA MBEYA YACHANJA MBUNGA YATIMBA VISIWA VYA UNGUJA KUJIFUNZA
7:02 PM
TANZANIA YAALIKWA KUWA MWENYEJI WA MAONESHO YA UFUGAJI NYUKI AFRIKA 2027
5:24 PM
WAHITIMU OP MIAKA 6O YA MUUNGANO 832 RUVU WAAHIDI KUWA WAZALENDO
10:40 PM
ISIMANI WAJITOKEZA KWA WINGI KUMCHAGUA MRITHI WA LUKUVI
8:09 PM
SKA 2026 KUCHOCHEA UANDISHI WA HABARI ZA MAENDELEO
6:56 PM
KUNDI LA KANGA MOKO YATAITIWA BUNGENI
11:06 AM
BALOZI WA AMANI RISASI MWAULANGA ALILIA KUENDELEZA AMANI YA TANZANIA
4:06 PM
5:33 PM
KAMPUNI ZA TPBL,TFC,TARI,TFRA NA TPHPA WASAINI HATI ZA WA USHIRIKIANO
10:11 AM
RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MHE. WANG HUNING, BEIJING CHINA
6:28 AM
Maktaba Yangu
HABARI
582
HALI YA HEWA
132
JAMII
63
MICHEZO
46
MATUKIO
26
Afya
21
SIASA
19
MAISHA
16
KIMATAIFA
9
UTALII
8
BURUDANI
6
DINI
5
KILIMO
3
SHERIA
3
MUZIKI
1
RIADHA
1
TEKNOLOJIA
1
Social Media
Habari Mchanganyiko
KAIMU MNIKULU MKUU MTAWA AKABIDHI BAJAJI 2 ,KWA WASANII WENYE ULEMEAVU WA VIUNGO
5:26 PM
5:33 PM
MVUA KIDOGO MAJI KIBAO! Hili ndilo jiji la Dar tena eneo la Posta!
11:05 PM
WAZIRI MARY NAGU (MB) ATETA NA UJUMBE WA CHINA
3:54 PM
KUNDI LA KANGA MOKO YATAITIWA BUNGENI
11:06 AM
KARIBU NYUMBANI YABAMBA OLDUVAI.
2:39 PM
ISO KONGWE HAIVUKI
11:08 AM
TBN WAIPONGEZA BMH KUTIMIZA MIAKA KUMI TANGU KUANZISHWA KWAKE
5:55 PM
HALMASHAURI WILAYA YA MBEYA YACHANJA MBUNGA YATIMBA VISIWA VYA UNGUJA KUJIFUNZA
7:02 PM
KUNDI LA CASH MONEY LAATOA MSAAA KWA WAGOJWA HOSPITALI YA TEMEKE
4:47 AM
0 Comments