Waziri
wa Fedha Mhe. Saada Mkuya Salum (Mb) (katikati) akiwa katika picha ya
pamoja na viongonzi mbalimbali wa Serikali pamoja na mwakilishi wa Wadau
wa Maendeleo nchini Bw. Richard Martini (kulia kwake) baada ya kumaliza
hafla fupi ya kukabidhi vifaa vya Teknolojia, Habari na Mawasiliano
(TEHAMA) kwa baadhi ya Wizara, Idara na Taasisi za Serikali
iliyofanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Wizara ya Fedha.
Rais Dkt. Samia Azindua Sera ya Taifa ya Ardhi ya mwaka 1995 Toleo la 2023
na Mfumo wa e-Ardhi Jijini Dodoma
-
RAIS Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan azindua Sera ya Taifa ya Ardhi ya mwaka
1995 Toleo la 2023 na Mfumo wa e-Ardhi Jijini Dodoma.
Copyright 200...
9 minutes ago
0 Comments