RAHA NA KARAHA YA MVUA DAR


 Dada akiwa amebebwa alipokuwa akivushwa kwa malipo kwenye dimbwi la maji ya mvua eneo la Magomeni Kagera, Dar es Salaam
 Mbebaji akiwa amemwangusha dada huyo kwenye dimbwi
  Dada akimkunja kijana aliyemdondosha kwenye dimbwi.
 Wasamaria wema wakimsaidia dada kumtoa kwenye dimbwi
Dada akilia baada ya kuokolewa.PICHA ZOTE NA KHAMIS MUSSA

Post a Comment

0 Comments