Katibu wa chama cha Baiskeli Kanda ya Ziwa(KAMWASHI), John
Elisha akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mashindano ya Baikeli Kandaya
ya Ziwa yanayojulikana kwa “Safari Bike Race” yanayotarajiwa kufanyika kesho
Mkoani Shinyanga wakati wa kusherehekea sikukuu ya Nane nane.kutoka kulia ni
Mratibu wa mashindano hayo,Peter Zacharia,Meneja matukio Kanda ya Ziwa
TBL,Erick Mwayela,Meneja mauzo Syanyanga TBL,Robert Michae na Mwenyekiti wa
chama hicho, Elisha Elias.
Mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika Kati ya Azam na Nairobi United Mchezo
Uliyofanyika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.Timu ya Azam Imeshinda
Mchezo Huo Kwa Bao 1-0
-
Mchezaji wa Timu ya Azam Feisal Salum Feitoto akijiandaa kumpita beki wa
Timu ya Nairobi United , katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika
uliyofanyik...
3 hours ago
0 Comments