Muumini Anitha Mseti ambaye pia ni
mfadhili wa Kwaya ya Familia Takatifu Kitunda akimshika mkono Askofu
Msaidzi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Titus Mdoe kumkaribisha Parokiani Kitunda baada ya kipaimara kwa watoto 198.Watoto walioata kipaimara Kanisa Katoliki Parokia ya KitundaWatoto wa Utoto Mtakatifu Parokia ya Kitunda wakisalimiana na Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam,Mhashamu Titus Mdoe.
Makamu Mwenyekti wa Kitunda,Bi. Nancy
Peter akiongoza akinamama kumshika askofu mkono wa kumkaribisha Parokia
ya Kitunda kutoa asimikwe kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar es
Salaam, Titus Mdoe.
Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar
es Salaam, Mhashamu,Titus Mdoe (katikati) na Paroko wa Parokia ya
Kitunda, James Mweyunge (kuhoto) wakipewa taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa Kanisa litakalogharimu Sh. bil. 1.6 yaliyokuwa yakitolewa na Mwenyekiti wa Ujenzi, Bw. Simon Dorongo.Nyuma ya Paroko ni Mweyekiti wa Walei Parokia ya Kitunda, Dkt.Donald Antony Mwiturubani (Picha na Peter Mwenda).
Muumini Anitha Mseti ambaye pia ni
mfadhili wa Kwaya ya Familia Takatifu Kitunda akimshika mkono Askofu
Msaidzi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Titus Mdoe kumkaribisha Parokiani Kitunda baada ya kipaimara kwa watoto 198.Watoto walioata kipaimara Kanisa Katoliki Parokia ya KitundaWatoto wa Utoto Mtakatifu Parokia ya Kitunda wakisalimiana na Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam,Mhashamu Titus Mdoe.
Makamu Mwenyekti wa Kitunda,Bi. Nancy
Peter akiongoza akinamama kumshika askofu mkono wa kumkaribisha Parokia
ya Kitunda kutoa asimikwe kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar es
Salaam, Titus Mdoe.
Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar
es Salaam, Mhashamu,Titus Mdoe (katikati) na Paroko wa Parokia ya
Kitunda, James Mweyunge (kuhoto) wakipewa taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa Kanisa litakalogharimu Sh. bil. 1.6 yaliyokuwa yakitolewa na Mwenyekiti wa Ujenzi, Bw. Simon Dorongo.Nyuma ya Paroko ni Mweyekiti wa Walei Parokia ya Kitunda, Dkt.Donald Antony Mwiturubani (Picha na Peter Mwenda).
Jimbo la Kiwani kushajiisha Tahfidh al Qur'aan
-
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwakilishi wa Jimbo la
Kiwani Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amesema kwa kushirikiana na viongozi
wenzake ...
Deciphering the Secrets of Tanzanian Wildlife
-
*Summary:* Go beyond the checklist. This blog post breaks down the unique
evolutionary traits found *only* in Tanzania's ecosystem.
We explore...
Waziri Ndalichako azindua chuo kipya cha VETA Kagera
-
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amezindua
chuo kipya cha VETA Ndolage kilichopo Kamachumu Wilaya ya Muleba mkoani
Kagera k...
0 Comments