Muumini Anitha Mseti ambaye pia ni
mfadhili wa Kwaya ya Familia Takatifu Kitunda akimshika mkono Askofu
Msaidzi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Titus Mdoe kumkaribisha Parokiani Kitunda baada ya kipaimara kwa watoto 198.Watoto walioata kipaimara Kanisa Katoliki Parokia ya KitundaWatoto wa Utoto Mtakatifu Parokia ya Kitunda wakisalimiana na Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam,Mhashamu Titus Mdoe.
Makamu Mwenyekti wa Kitunda,Bi. Nancy
Peter akiongoza akinamama kumshika askofu mkono wa kumkaribisha Parokia
ya Kitunda kutoa asimikwe kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar es
Salaam, Titus Mdoe.
Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar
es Salaam, Mhashamu,Titus Mdoe (katikati) na Paroko wa Parokia ya
Kitunda, James Mweyunge (kuhoto) wakipewa taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa Kanisa litakalogharimu Sh. bil. 1.6 yaliyokuwa yakitolewa na Mwenyekiti wa Ujenzi, Bw. Simon Dorongo.Nyuma ya Paroko ni Mweyekiti wa Walei Parokia ya Kitunda, Dkt.Donald Antony Mwiturubani (Picha na Peter Mwenda).
Muumini Anitha Mseti ambaye pia ni
mfadhili wa Kwaya ya Familia Takatifu Kitunda akimshika mkono Askofu
Msaidzi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Titus Mdoe kumkaribisha Parokiani Kitunda baada ya kipaimara kwa watoto 198.Watoto walioata kipaimara Kanisa Katoliki Parokia ya KitundaWatoto wa Utoto Mtakatifu Parokia ya Kitunda wakisalimiana na Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam,Mhashamu Titus Mdoe.
Makamu Mwenyekti wa Kitunda,Bi. Nancy
Peter akiongoza akinamama kumshika askofu mkono wa kumkaribisha Parokia
ya Kitunda kutoa asimikwe kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar es
Salaam, Titus Mdoe.
Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar
es Salaam, Mhashamu,Titus Mdoe (katikati) na Paroko wa Parokia ya
Kitunda, James Mweyunge (kuhoto) wakipewa taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa Kanisa litakalogharimu Sh. bil. 1.6 yaliyokuwa yakitolewa na Mwenyekiti wa Ujenzi, Bw. Simon Dorongo.Nyuma ya Paroko ni Mweyekiti wa Walei Parokia ya Kitunda, Dkt.Donald Antony Mwiturubani (Picha na Peter Mwenda).
FUKUO LA KUFUKUA MAAJABU YA NGORONGORO LAFUKULIWA
-
Waswahili husema "Dunia ni jumba la maajabu " Ngorongoro haiishiwi maajabu
, Ni kama vile lile fukuo la kufukulia maajabu ndani ya hifadhi ya eneo la
N...
FUKUO LA KUFUKUA MAAJABU YA NGORONGORO LAFUKULIWA
-
Waswahili husema "Dunia ni jumba la maajabu " Ngorongoro haiishiwi maajabu
, Ni kama vile lile fukuo la kufukulia maajabu ndani ya hifadhi ya eneo la
Ng...
The Walk of a Lifetime
-
Ditch the safari jeep for a stroll through the acacias.
At the *Arusha Giraffe Centre*, you can walk side-by-side with Valerie,
Edward, and the gang—...
MAZIKO YA MPENDWA WETU HASSAN NG'ANZO
-
*Ndugu, jamaa na marafiki wakijumuika pamoja katika siku ya msiba wa
mpendwa wetu Hassan Ng'anzo nyumbani kwa marehemu Sinza Mori mapema siku ya
Ijumaa M...
WASIRA AWATOLEA UVIVU WALIOANZA MBIO ZA URAIS
-
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen
Wasira, Leo Machi 27, 2026, Mjini Bunda Mkoa wa Mara alipokuwa akiweka
jiwe la ms...
Waziri Ndalichako azindua chuo kipya cha VETA Kagera
-
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amezindua
chuo kipya cha VETA Ndolage kilichopo Kamachumu Wilaya ya Muleba mkoani
Kagera k...
0 Comments