Bondia Issa
Omar na Shaban Madiluu leo mchana wamemaliza taratibu zote zinazohusiana
na mpambano wao wa ubingwa wa UBO. Kwa upande wa mabondia wenyewe
wamejinadi kuwa wamejiandaa vizuri kwa mazoezi ya muda mrefu kwa ajili
ya pambano hilo. Pambano hilo lililoandaliwa na Bigright Promotion na
litasimamiwa na PST chini ya Rais wake, Emmanuel Mlundwa kwa dhamana ya
UBO akiwa kama mwakilishi wa Afrika Mashariki.
WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA DRC AWASILI NCHINI
-
Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Mhe. Antonie
Tshisekedi ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Mhe. Therese
Kayikw...
2 hours ago
0 Comments