Bondia Issa
Omar na Shaban Madiluu leo mchana wamemaliza taratibu zote zinazohusiana
na mpambano wao wa ubingwa wa UBO. Kwa upande wa mabondia wenyewe
wamejinadi kuwa wamejiandaa vizuri kwa mazoezi ya muda mrefu kwa ajili
ya pambano hilo. Pambano hilo lililoandaliwa na Bigright Promotion na
litasimamiwa na PST chini ya Rais wake, Emmanuel Mlundwa kwa dhamana ya
UBO akiwa kama mwakilishi wa Afrika Mashariki.
ULIPAJI KODI NI MSINGI WA MAENDELEO YA TAIFA - DC KISHAPU
-
MKUU wa Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga Peter Masindi, amesema kulipa
kodi ni muhimu sana kwa maendeleo ya Taifa kwani kupitia Kodi Serikali
imeendel...
1 hour ago
0 Comments