Ofisa Programu wa Asasi ya Islamic Help, Adam Rajab (wa pili kushoto), akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, kuhusu hafla ya Futari na chakula cha usiku iliyoandaliwa na Asasi hiyo Ijumaa Agosti 3.2012 katika Hoteli ya Serena, kwa ajili ya kuchangisha fedha za ujenzi wa nyumba katika kijiji cha watoto yatima 'Childrens Eco Village' huko Kisemvule ambapo Mgeni Rasmi atakuwa Rais mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi. Kushoto ni Afisa Utawala wa Islamic Help, Saamia Shikely (Kutoka wa tatu kushoto) ni; Meneja wa Islamic Help Tanzania, Ishak Muhsin, Mwanachama Mshauri wa Bodi, Salehe Ally na Mkurugenzi wa Vision Investment, Ally Nchahaga.
Benki ya Exim Tanzania na Toyota Washirikiana Kurahisisha Upatikanaji wa
Magari kwa Watanzania
-
Benki ya Exim Tanzania imeingia katika ushirikiano wa kimkakati na Toyota
wenye lengo la kufanya umiliki wa magari kuwa rahisi zaidi na nafuu kwa
Watanz...
13 hours ago
0 Comments