Web ya Ngoma Africa band aka FFU hewani tena baada ya matengenezo ya masaa machacheTovuti ya bendi maarufu ya dansi barani ulaya Ngoma Africa band hipo hewani tena baada yakufanyiwa marekebisho fulani ya kiufundi kwa masaa machache jana Juni 10 , 2012 , Kambi hiyo ya FFU at www.ngoma-africa.com inaendelea kumwaga burudani kamiliya muziki kama kawaida masaa 24 kwa siku 7 za wiki. wadau wote mnaombwa kuendelea kupata raha ya muziki bila kwikwi bofya at www.ngoma-africa.com au http://www.ngoma-africa.com
MAKAMU WA RAIS DKT.NCHIMBI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA PAMOJA YA SJMT NA SMZ
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi ameongoza kikao cha Kamati ya Pamoja ya Serikali ya Jamhuri ya
Muunga...
2 hours ago

0 Comments