Sugu akiwa katika picha ya pamoja na wasanii , Mkoloni kushoto kwake na waratibu wa tamasha hilo ambalo limepangwa kufanyika Novemba 26 katika viwanja vya Chuo Cha Ustawi wa Jamii Jijini Dar es Salaam.Tamasha hilo limetajwa kwa jina la Anti Virus Burudani kwa Mashabiki.
ZAIDI YA WAANDISHI WA HABARI 3200 WAMEPATA ITHIBATI
-
Zaidi ya waandishi Waandishi wa Habari 3200 kati ya 3900 walioomba
Vitambulisho vya Uandishi wa Habari (Press Card) wamepata vitambulisho
hivyo ba...
49 minutes ago
0 Comments