Wanafunzi wa Shule ya Msingi huko Ludewa Mkoa mpya wa Njombe wanasoma kwenye Kanisa, Wizara husika zinayajua haya kweli ya watoto wetu ambao ni Taifa la Leo na kesho!
KAPINGAZ BLOG INASEMA "TAFADHALI CHUKUENI HATUA LA SIVYO ELIMU YA WATOTO WETU ITAENDELEA KUDIDIMIA"
RAIS SAMIA AWAVUTA IKULU Dk. MPANGO NA KASSIM MAJALIWA WAWE WASHAURI WAKE
-
*Asema ndio sababu za kumteua Profesa Kabudi kuwa Ofisi ya Rais Ikulu
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu H...
1 hour ago

0 Comments