Naibu Balozi akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya maofisa wa ubalozi , TMK na Mapromota walioongozana nao kuwaunga mkono
Lucy kushoto na Linda wakiwa katika picha ya pamoja Ubalozini.
Mwakilishi katika Bunge la Vijana Linda Kapinga akiachia pozi.
Mheshimiwa Naibu Balozi akiwa katika picha ya pamoja na walioteuliwa kuwa wawakilishi katika Bunge la Vijana Lucy na Linda..
Urban Pusle na Miss Jestina wakifanya Mahojiano na Linda.Picha zote na URBAN PUSLE.
Fukwe Chafu, Utalii Hatari: Serikali Yatoa Onyo kwa Wananchi
-
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.
UCHAFUZI wa mazingira ya bahari, unaochangiwa kwa kiasi kikubwa na utupaji
holela wa taka ngumu hususan chupa za pla...
49 minutes ago
0 Comments