Wachezaji sita bora waliochaguliwa katika michuano ya kukuza vipaji vya soka kwa vijana ya Airtel Rising Stars, wakiwa na vyeti vyao baada ya kukabidhiwa na mgeni rasmi, katika kilele cha michuano hiyo, jana kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam. Wachezaji hao watashiriki kliniki ya Manchester United itakayofanyika Uwanja wa Taifa kuanzia Oktoba 30 hadi Novemba 2, mwaka huu.
NAIBU WAZIRI OFISI YA RAIS -UTUMISHI ARIDHISHWA UTEKELEZJI MIRADI YA TASAF
-
Na Mwandishi Wetu, Karatu.
NAIBU Waziri wa Ofisi ya Rais-Utumishi, Regina Qwaray, ameonyesha
kuridhishwa na utekelezaji wa miradi iliyojengwa na Mfuko wa...
29 minutes ago
0 Comments