Wachezaji sita bora waliochaguliwa katika michuano ya kukuza vipaji vya soka kwa vijana ya Airtel Rising Stars, wakiwa na vyeti vyao baada ya kukabidhiwa na mgeni rasmi, katika kilele cha michuano hiyo, jana kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam. Wachezaji hao watashiriki kliniki ya Manchester United itakayofanyika Uwanja wa Taifa kuanzia Oktoba 30 hadi Novemba 2, mwaka huu.
MENEJIMENTI YA TMDA YAJIPANGA NA DIRA 2050
-
Menejimenti ya TMDA yakutana Morogoro tarehe 2 -3 Februari, 2026 kujadili
rasimu ya Mpango Mkakati Mpya wa Mamlaka wa miaka mitano, 2026/27-2030/31
unaoak...
1 hour ago
0 Comments