Wachezaji sita bora waliochaguliwa katika michuano ya kukuza vipaji vya soka kwa vijana ya Airtel Rising Stars, wakiwa na vyeti vyao baada ya kukabidhiwa na mgeni rasmi, katika kilele cha michuano hiyo, jana kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam. Wachezaji hao watashiriki kliniki ya Manchester United itakayofanyika Uwanja wa Taifa kuanzia Oktoba 30 hadi Novemba 2, mwaka huu.
MAMA NA BABA LISHE: SERIKALI YAJIPANGA UPYA KUBORESHA BIASHARA NA HUDUMA ZA
ULEZI NCHINI
-
Na Janeth Raphael-MichuziTv
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan,
amesisitiza dhamira ya serikali kuendelea kuimarisha mazing...
33 minutes ago
0 Comments