Wachezaji sita bora waliochaguliwa katika michuano ya kukuza vipaji vya soka kwa vijana ya Airtel Rising Stars, wakiwa na vyeti vyao baada ya kukabidhiwa na mgeni rasmi, katika kilele cha michuano hiyo, jana kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam. Wachezaji hao watashiriki kliniki ya Manchester United itakayofanyika Uwanja wa Taifa kuanzia Oktoba 30 hadi Novemba 2, mwaka huu.
TANZANIA YANG’ARA KIMATAIFA KWA USIMAMIZI BORA WA DENI LA SERIKALI
-
Na Joseph Mahumi, WF
Serikali ya Tanzania imeendelea kung’ara katika jukwaa la kimataifa baada
ya kuibuka mshindi wa jumla wa mwaka katika Tuzo za Usima...
1 hour ago
0 Comments