Wachezaji sita bora waliochaguliwa katika michuano ya kukuza vipaji vya soka kwa vijana ya Airtel Rising Stars, wakiwa na vyeti vyao baada ya kukabidhiwa na mgeni rasmi, katika kilele cha michuano hiyo, jana kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam. Wachezaji hao watashiriki kliniki ya Manchester United itakayofanyika Uwanja wa Taifa kuanzia Oktoba 30 hadi Novemba 2, mwaka huu.
TRA YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA WA JUMLA TUZO ZA NBAA KWA MWAKA 2024
-
Mamlaka ya Mapato tanzania (TRA) yaibuka Mshindi wa Kwanza wa jumla kwenye
uandaaji wa hesabu za kifedha zinazozingatia viwango vya Kimataifa vya
Uhasibu k...
17 minutes ago
0 Comments