Wadau mbalimbali wakifuatilia uzinduzi huo.
Pichani juu na chini ni washindi wa bahati nasibu ya SONY ERICSSON ambapo juu ni Willy Edward kutoka Jambo Leo na chini ni Operation Manager wa MO Blog Zainudin Mzige walipata simu aina ya XPERIA mini (TOUCH SCREEN)
0 Comments