mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa blog yenu hii
kuna kijana ambaye ni ndugu wa staff mwenzangu amepotea tangu juzi,
kwa kuwa watu wengi sasa wanafuatilia na kuangalia blog naamini kwa kutoa tangazo kwenye blog yako inaweza kusaidia kumpata
naomba uniwekee hili tangazo kwenye blog yako na kama una mawasiliano na blog nyingine yoyote uliyo nayo tafadhali na mungu akubariki
ahsante sana
WAZIRI MKUU ASHIRIKI MKUTANO WA ‘SUMMIT OF THE FUTURE’.
-
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Septemba 22, 2024 akishiriki katika
ufunguzi wa Mkutano wa ngazi ya juu wa Wakuu wa Nchi na Serikali ‘Summit of
the Future...
3 hours ago
0 Comments