mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa blog yenu hii
kuna kijana ambaye ni ndugu wa staff mwenzangu amepotea tangu juzi,
kwa kuwa watu wengi sasa wanafuatilia na kuangalia blog naamini kwa kutoa tangazo kwenye blog yako inaweza kusaidia kumpata
naomba uniwekee hili tangazo kwenye blog yako na kama una mawasiliano na blog nyingine yoyote uliyo nayo tafadhali na mungu akubariki
ahsante sana
MBUNGE KOOLA ASHIRIKI MASHINDANO YA KUHIFADHI QUR’AN - HIMO
-
VUNJO.
MBUNGE wa Jimbo la Vunjo, Enock Koola amewapongeza walimu wa madrasa kwa
juhudi zao za malezi ya kiroho na maadili kwa watoto na vijana kupitia
...
10 hours ago

0 Comments