mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa blog yenu hii
kuna kijana ambaye ni ndugu wa staff mwenzangu amepotea tangu juzi,
kwa kuwa watu wengi sasa wanafuatilia na kuangalia blog naamini kwa kutoa tangazo kwenye blog yako inaweza kusaidia kumpata
naomba uniwekee hili tangazo kwenye blog yako na kama una mawasiliano na blog nyingine yoyote uliyo nayo tafadhali na mungu akubariki
ahsante sana
SERIKALI YAHAMASISHA WANANCHI KULINDA HAKI NA USTAWI WA PUNDA.
-
Serikali imeendelea kuweka nguvu katika kulinda haki na ustawi wa mnyama
kazi punda kutokana na umuhimu wake kwa jamii katika kusaidia shughuli za
kiuchumi...
55 minutes ago

0 Comments