AISHA MADINDA AJIUNGA NA EXTRA BONGO

Camarade Ally Choki akimtambulisha  mnenguaji wake mpya Aisha Madinda aliyetoka katika bendi ya Twanga Pepeta kwa mashabiki na wandishi wa habari  hawapo pichani  kwenye ukumbi wa Club Masai Ilala Jijini Dar es Salaam.

Post a Comment

0 Comments