Camarade Ally Choki akimtambulisha mnenguaji wake mpya Aisha Madinda aliyetoka katika bendi ya Twanga Pepeta kwa mashabiki na wandishi wa habari hawapo pichani kwenye ukumbi wa Club Masai Ilala Jijini Dar es Salaam.
TBS YATOA ELIMU YA UBORA WA BIDHAA KIGOMA
-
Na Mwandishi Wetu, Kigoma
WANANCHI wameshauriwa kabla ya kununua bidhaa wahakikishe wanasoma kwa
umakini taarifa zilizopo kwenye vifungashio ili kujiridhis...
1 hour ago
0 Comments