Kutokana na ushindi huo kundi la Contaigous wataungana na makundi mengine kwenye michuano ya fainali ambayo yaliyopatikana Zanzibar, Tanga , huku akali wengine watasaka Mwanza mwishoni na wiki ijayo.
Fainali imepangwa kujumuisha makundi ya kudance kutoka Jijini Dar es Salaam ambapo wamegawanywa katika makundi matatu ambayo ni Kanda ya Ilala, Temeke na Kinondoni.
0 Comments