Bendi ya Kilimanjaro 'Wana Njenje' wanaopagawisha na nyimbo za Kinyaunyau kikia cha Pweza, Boko, Kachiri, Gere, Njenje, Maige, Tupendane Tummogele na nyimbo nyingine nyingi ambazo zimeweza kukaa katika akili za watu kwa muda mrefu leo zitasikika 'live' kwenye ukumbi wa Villa Park Jijini Mwanza 'Rock City' . Wapenzi wa Mwanza haya haya tunategemea mtakata leo 14 February, siku ya Valentine. Njoo na mupenzi, ndugu, rafiki na jamaa kwa picha zaidi tembelea http://www.wananjenje.blogspot.com/
RC CHALAMILA ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO KUFUATIA KIFO CHA CARDINALI PENGO
-
Na Mwandishi Wetu
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Feb 23,2026 akiwa
ameambatana na kamati ya usalama Mkoa, amesaini kitabu cha maom...
2 hours ago
0 Comments