Bendi ya Kilimanjaro 'Wana Njenje' wanaopagawisha na nyimbo za Kinyaunyau kikia cha Pweza, Boko, Kachiri, Gere, Njenje, Maige, Tupendane Tummogele na nyimbo nyingine nyingi ambazo zimeweza kukaa katika akili za watu kwa muda mrefu leo zitasikika 'live' kwenye ukumbi wa Villa Park Jijini Mwanza 'Rock City' . Wapenzi wa Mwanza haya haya tunategemea mtakata leo 14 February, siku ya Valentine. Njoo na mupenzi, ndugu, rafiki na jamaa kwa picha zaidi tembelea http://www.wananjenje.blogspot.com/
Standard Chartered Tanzania Yatoa USD 11,500 Kuendeleza Ukuaji wa
Ujasiriamali
-
Standard Chartered Tanzania imeongeza dhamira yake ya kuunga mkono ubunifu
wa ndani na uwezeshaji wa kiuchumi kwa kutangaza mchango wa USD 11,500 kwa
Cha...
37 minutes ago
0 Comments