Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete leo ametoa zawadi za Eid El Hajj kwa vituo mbalimbali nchini vinavyolea watoto yatima na wazee wasiojiweza ili wajumuike na Watanzania wengine kusherehekea siku kuu hiyo kwa furaha.Zawadi hizo ni pamoja na mbuzi,mafuta ya kupikia na mchele.Pichan ni msaidizi wa Rais Bwana Kassim Mtawa akimkabidhi zawadi ya mbuzi mkuu wa kituo cha kulelea wazee cha Msimbazi Sr.Yusta Mhumbila.Hafla hiyo fupi ilifanyika Ikulu jijini Dar es Salam(Picha: Freddy Maro).
DC KARATU ATETA NA WATAALAM WA KUCHOMA NYAMA YA NYANI NA WAHUNZI JIOPAKI YA
NGORONGORO LENGAI
-
Na Mwandishi wetu, Eyasi.
Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Karatu, ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya hiyo
Mhe. Dkt. Lameck Karanga, imekutana na baadhi ya wa...
6 hours ago
0 Comments