Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete leo ametoa zawadi za Eid El Hajj kwa vituo mbalimbali nchini vinavyolea watoto yatima na wazee wasiojiweza ili wajumuike na Watanzania wengine kusherehekea siku kuu hiyo kwa furaha.Zawadi hizo ni pamoja na mbuzi,mafuta ya kupikia na mchele.Pichan ni msaidizi wa Rais Bwana Kassim Mtawa akimkabidhi zawadi ya mbuzi mkuu wa kituo cha kulelea wazee cha Msimbazi Sr.Yusta Mhumbila.Hafla hiyo fupi ilifanyika Ikulu jijini Dar es Salam(Picha: Freddy Maro).
WAZIRI NDEJEMBI AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA BENACO–KYAKA
-
📌 Utawezesha Mkoa wote Kagera kuunganishwa na Gridi ya Taifa
📌 Zaidi ya Bilioni 270 kutumika kutekeleza mradi
📌 Mradi kukamilika ndani ya miezi 24
...
8 hours ago
0 Comments