Hatimaye Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika ametangazwa kuibuka na ushindi wa kishindo katika kinyang'anyiro cha kuti cha Ubunge Jimbo la Ubungo Dar es Salaam hivyo basi kwa matokeo hayo yaliyotangazwa rasmi Mnyika ndiye Mbunge mteule wa jimbo hilo.
Bi.Fauzia Malik na Bi.Angelic wateuliwa Bodi ya Wakurugenzi Equity Bank
Tanzania
-
Equity Bank Tanzania imewateua Bi. Malik na Bi. Tarimo kwenye Bodi ya
wakurugenzi na inatarajia kufaidika na ujuzi wao mkubwa huku Benki
ikiendelea kuimari...
1 hour ago
0 Comments