Hatimaye Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika ametangazwa kuibuka na ushindi wa kishindo katika kinyang'anyiro cha kuti cha Ubunge Jimbo la Ubungo Dar es Salaam hivyo basi kwa matokeo hayo yaliyotangazwa rasmi Mnyika ndiye Mbunge mteule wa jimbo hilo.
SITA KIZIMBANI KWA KUTUMIA NIDA ZA WATU KUSAJILIA LINE ZINGINE
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv OFISA Uchunguzi wa Halotel Fabian Kulwa (40)
na wenzane watano wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu
wakikabil...
13 hours ago
0 Comments