Hatimaye Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA John Mnyika ametangazwa kuibuka na ushindi wa kishindo katika kinyang'anyiro cha kuti cha Ubunge Jimbo la Ubungo Dar es Salaam hivyo basi kwa matokeo hayo yaliyotangazwa rasmi Mnyika ndiye Mbunge mteule wa jimbo hilo.
Skuli binafsi zina mchango mkubwa kwenye maendeleo ya sekta ya Elimu
Zanzibar
-
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Mhe. Lela Muhamed Mussa,
ameahidi kushirikiana kikamilifu na kufanyia kazi changamoto zinazowakabili
wada...
4 hours ago
0 Comments