Naye Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano NMB Imani Kajula alisema udhamini huo ni mwendelezo wa Benki hiyo kwa Taifa Stars huku akisema vifaa walivyotoa ni pamoja na seti za jezi watakazo vaa katika mechi, mipira mitano, jezi za kuvaa wakiwa kalba ya mechi, Traksuti 30 nguo za kuvaa nje ya uwanja wanapokuwa pamoja viatu jozi 30 ambavyo ni vya mazoezi na mechi.Naye Kapteni wa Taifa Stars Shadrack Nsajigwa ambaye alizungumza kwa niaba ya wachezaji wengine alisema anatoa shukrani kwsa NMB kwa udhamini wao na kuwasaidia bila kuchoka.“Tumejiandaa vizuri hivyo napenda kusema kwamba sisi Taifa Stars tumejiandaa vyema na tutajitahidi kadri ya uwezo wetu kufanya vizuri katika mechi hii” alisema Nsajigwa.
SERIKALI YAFAFANUA HATUA ZA KUDHIBITI MIKOPO YENYE RIBA KUBWA
-
Na. Chedaiwe Msuya na Jordan Mbwambo WF, Dodoma.
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), amesema
Serikali inaendelea kuchukua hatua mba...
1 hour ago
0 Comments