Yanga ya Dar es Salaam wametoka kifua mbele katika mechi yao ya leo na watani wao wa jadi Simba 1-0.Licha ya Timu ya Wekundu wa Msimbazi kuopata nafasi takriban 5 wameshindwa kuzitendea haki lakini Yanga mara walipopata nafasi moja tu hakufanya ajizi kwa kupitia mchezaji wao Jerry Tegete akapachika bao katika dakika ya 71, hivyo hivi sasa Yanga watakuwa mbele ya Simba kwa kuwa na pointi 19 na Simba wakiwa na pointi 15.
WATUMISHI WA WASHIRIKA LA MASOKO WAJENGEWA UWEZO MATUMIZI YA E-MREJESHO.
-
Shirika la Masoko ya Kariakoo limeimarisha mfumo wa kupata mrejesho kutoka
kwa wateja wake kwa kujiunga katika mfumo e-mrejesho ili kupata mrejesho
kwa wat...
47 minutes ago
0 Comments