Yanga ya Dar es Salaam wametoka kifua mbele katika mechi yao ya leo na watani wao wa jadi Simba 1-0.Licha ya Timu ya Wekundu wa Msimbazi kuopata nafasi takriban 5 wameshindwa kuzitendea haki lakini Yanga mara walipopata nafasi moja tu hakufanya ajizi kwa kupitia mchezaji wao Jerry Tegete akapachika bao katika dakika ya 71, hivyo hivi sasa Yanga watakuwa mbele ya Simba kwa kuwa na pointi 19 na Simba wakiwa na pointi15.
-
*Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji wa Rufaa
Jacobs Mwambegele akizungumza leo Februari 22, 2026 na washiriki wa mafunzo
ya ...
The Armored Giant: Tracking the Rare Black Rhino
-
In the vast expanse of the Tanzanian savannah, one silhouette commands a
different kind of respect. The Black Rhino. Seeing one isn't just a
"s...
Waziri Ndalichako azindua chuo kipya cha VETA Kagera
-
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amezindua
chuo kipya cha VETA Ndolage kilichopo Kamachumu Wilaya ya Muleba mkoani
Kagera k...
0 Comments