Yanga ya Dar es Salaam wametoka kifua mbele katika mechi yao ya leo na watani wao wa jadi Simba 1-0.Licha ya Timu ya Wekundu wa Msimbazi kuopata nafasi takriban 5 wameshindwa kuzitendea haki lakini Yanga mara walipopata nafasi moja tu hakufanya ajizi kwa kupitia mchezaji wao Jerry Tegete akapachika bao katika dakika ya 71, hivyo hivi sasa Yanga watakuwa mbele ya Simba kwa kuwa na pointi 19 na Simba wakiwa na pointi 15.
IMANI YA JUMUIYA YA KIMATAIFA KWA UONGOZI WA RAIS SAMIA IMEJIDHIHIRISHA
KUPITIA UFADHILI WA DOLA BILIONI 1.277 KUENDELEZA UJENZI WA SGR.
-
Aprili 28, 2026, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini
mkataba wa kukamilisha mpango wa ufadhili wa pamoja wenye thamani ya
takribani dola...
13 hours ago
0 Comments