Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwasili Masjid Al Abrar - Tazari kwa ajili ya Sala ya Ijumaa na Mgeni rasmi katika Dua ya Kumuombea Mhe, Rais, na kuiombea n Achi Amani kuelekea Uchaguzi Mkuu , Amepokelewa na wanafunzi wa almadrasatul Nuru Nnabiy -Tazari Zanzibar leo tarehe 03 Oktoba 2025 Masjid Al Abrar - Tazari Mkoa Kaskazini Unguja
WANANCHI WANA MATUMAINI MAKUBWA NA SERIKALI KUPITIA REA–MHANDISI SAIDY
-
Na Maandishi Wetu
MKURUGENZI Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi, Hassan
Saidy amesema Wananchi hususan wanaoishi vijijini wana matumain...
23 minutes ago




0 Comments