Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwasili Masjid Al Abrar - Tazari kwa ajili ya Sala ya Ijumaa na Mgeni rasmi katika Dua ya Kumuombea Mhe, Rais, na kuiombea n Achi Amani kuelekea Uchaguzi Mkuu , Amepokelewa na wanafunzi wa almadrasatul Nuru Nnabiy -Tazari Zanzibar leo tarehe 03 Oktoba 2025 Masjid Al Abrar - Tazari Mkoa Kaskazini Unguja
DKT.MIGIRO KUUNGURUMA ILALA KESHO, AKIHITIMISHA ZIARA JIJINI DAR ES SALAAM
-
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi-CCM, Dokta Asha-Rose Migiro, kesho
tarehe 13.1.2026 anatarajiwa kuhitimisha ziara yake ya kimkakati katika
wilaya ya I...
2 hours ago




0 Comments