Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwasili Masjid Al Abrar - Tazari kwa ajili ya Sala ya Ijumaa na Mgeni rasmi katika Dua ya Kumuombea Mhe, Rais, na kuiombea n Achi Amani kuelekea Uchaguzi Mkuu , Amepokelewa na wanafunzi wa almadrasatul Nuru Nnabiy -Tazari Zanzibar leo tarehe 03 Oktoba 2025 Masjid Al Abrar - Tazari Mkoa Kaskazini Unguja
WAANDISHI WA HABARI GEITA WAPEWA MBINU ZA KUTHIBITISHA NA KUHAKIKI TAARIFA
-
Mkurugenzi wa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC),
Kenneth Simbaya akizungumza wakati akifungua mafunzo maalum kuhusu
Uthibitishaji na U...
5 hours ago




0 Comments