DKT.MWINYI ASHIRIKI DUA YA KUIOMBEA NCHI AMANI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwasili Masjid Al Abrar - Tazari kwa ajili ya Sala ya Ijumaa na Mgeni rasmi katika Dua ya Kumuombea Mhe, Rais, na kuiombea n Achi  Amani kuelekea Uchaguzi Mkuu , Amepokelewa na  wanafunzi  wa almadrasatul Nuru Nnabiy -Tazari Zanzibar  leo tarehe 03 Oktoba 2025 Masjid Al Abrar - Tazari Mkoa Kaskazini Unguja

Post a Comment

0 Comments