Kauli Mbiu ya maadhimisho ya Siku ya Faru ni "Tuhakikishe aina tano za Faru waliopo duniani wanaishi"
Katika maadhimisho ya Siku ya Faru Duniani Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro inafanya shughuli mbalimbali ikiwepo kutoa elimu ya uhifadhi wa Faru kwa jamii, kutoa elimu ya utunzaji wa mazingira, maonesho ya uhifadhi wa Faru pamoja na Michezo mbalimbali yenye lengo la kuhamasisha uhifadhi wa Faru.
KEEP THE FIVE ALIVE







0 Comments