RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN APOKEA GAWIO LA SERIKALI

Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mhe.Dkt.Samia Suluhu  akiwa kwenye hafla ya  kupokea gawio  la serikali iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam  tarehe 10 Juni 2025.

Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan  akihutubia  viongozi  pamoja  na wageni  mbalimbali  kwenye  hafla  ya kupokea  gawio. La serikali  iliyofanyika  Ikulu Jijini Dar es Salaam  tarehe 10 Juni 2025.

Post a Comment

0 Comments