Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiweka jiwe la msingi, kuashiria kuzindua rasmi kuanza kwa ujenzi wa Ofisi za Makao Makuu ya CCM, katika hafla iliyofanyika eneo la Tambuka reli, jijini Dodoma, litakapojengwa jengo hilo. Uzinduzi huo uliohudhuriwa na maelfu ya wananchi mbalimbali, wakiongozwa na viongozi na wanachama wa CCM, umefanyika leo Jumatano, tarehe 28 Mei 2025.
Nani Kukupatia Pesa Kwenye UEFA Leo?
-
PESA iko nje nje leo hii kwenye mechi za UEFA ndani ya Meridianbet kwani
kila kitu unachotaka kipo hapa kuanzia Odds kubwa, machaguo zaidi ya 1000.
Ji...
2 minutes ago


0 Comments