Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiweka jiwe la msingi, kuashiria kuzindua rasmi kuanza kwa ujenzi wa Ofisi za Makao Makuu ya CCM, katika hafla iliyofanyika eneo la Tambuka reli, jijini Dodoma, litakapojengwa jengo hilo. Uzinduzi huo uliohudhuriwa na maelfu ya wananchi mbalimbali, wakiongozwa na viongozi na wanachama wa CCM, umefanyika leo Jumatano, tarehe 28 Mei 2025.
TANAPA YAZIDI KUJIIMARISHA KIUTENDAJI, YAWAAPISHA MAKAMISHNA WAPYA WA
UHIFADHI
-
Na. Edmund Salaho - Dodoma
Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) limeendelea kuimarisha safu
yake ya Uongozi ili kuboresha utendaji kazi wa Shiri...
1 hour ago


0 Comments