Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Félix Houphouët Boigny uliopo Jijini Abijan nchini Ivory Coast leo tarehe 24 Mei 2025. Makamu wa Rais anamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mikutano ya Mwaka ya Bodi za Magavana wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) itakayofanyika kuanzia tarehe 26 hadi 30 Mei, 2025.
MHASIBU MKUU WA SERIKALI AZINDUA AWAMU YA PILI YA BODI YA RUFAA YA WAHASIBU
NA WAKAGUZI WA HESABU (AAAB)
-
Mhasibu Mkuu wa Serikali, CPA Leonard Mkude amezindua rasmi awamu ya pili
ya Bodi ya Rufaa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (Accountants and
Auditors...
1 hour ago




0 Comments