Wizara ya Maliasili na Utalii na taasisi zake imeshiriki katika Mkutano huo muhimu kutokana na mchango wa moja kwa moja kwenye Sekta ya Anga katika kusafirisha watalii wa ndani na nje kwenda kwenye maeneo yenye vivutio vya utalii nchini
Dkt. Jabiri Akabidhiwa Ofisi Rasmi TCAA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Dkt. Jabiri
K. Bakari amekabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu Bw. Salim
R. M...
33 minutes ago


0 Comments