Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiponda mawe wakati aliposhiriki
katika ujenzi wa Bwawa la maji linalojengwa katika kijiji cha Sengenya
Mangaka wilayani Nanyumbu mkoani Mtwara akiwa katika ziara yake ya
kikazi akikagua na kuhimiza utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya
mwaka 2010 inayotekelezwa na serikali pamoja na wananchi kwa ujumla
ikiwa ni pamoja na kuhimiza uhai wa chama cha Mapinduzi CCM, Katika
ziara hiyo leo Kinana amefanya kazi mbalimbali pamoja na kufanya
mikutano kadhaa akiwa ameongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa,
Itikadi na Uenezi.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-NANYUMBU-MTWARA)Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishirikiana na mafundi kupanga
mawe katika ukingo wa bwawa hilo linalojengwa katika kijiji cha Sengenya
Mangaka wilayani Nanyumbu.
MSD YAJIVUNIA MAFANIKIO UPATIKANAJI DAWA,VIFAA TIBA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Dodoma
BOHARI ya Dawa(MSD) ambayo ni taasisi iliyoundwa kisheria mwaka 1993
ikifuatiwa na maboresho mbalimbali ya sheria ili k...
MAZIKO YA MPENDWA WETU HASSAN NG'ANZO
-
*Ndugu, jamaa na marafiki wakijumuika pamoja katika siku ya msiba wa
mpendwa wetu Hassan Ng'anzo nyumbani kwa marehemu Sinza Mori mapema siku ya
Ijumaa M...
WASIRA AWATOLEA UVIVU WALIOANZA MBIO ZA URAIS
-
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen
Wasira, Leo Machi 27, 2026, Mjini Bunda Mkoa wa Mara alipokuwa akiweka
jiwe la ms...
Waziri Ndalichako azindua chuo kipya cha VETA Kagera
-
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amezindua
chuo kipya cha VETA Ndolage kilichopo Kamachumu Wilaya ya Muleba mkoani
Kagera k...
0 Comments