Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiponda mawe wakati aliposhiriki
katika ujenzi wa Bwawa la maji linalojengwa katika kijiji cha Sengenya
Mangaka wilayani Nanyumbu mkoani Mtwara akiwa katika ziara yake ya
kikazi akikagua na kuhimiza utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya
mwaka 2010 inayotekelezwa na serikali pamoja na wananchi kwa ujumla
ikiwa ni pamoja na kuhimiza uhai wa chama cha Mapinduzi CCM, Katika
ziara hiyo leo Kinana amefanya kazi mbalimbali pamoja na kufanya
mikutano kadhaa akiwa ameongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa,
Itikadi na Uenezi.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-NANYUMBU-MTWARA)Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishirikiana na mafundi kupanga
mawe katika ukingo wa bwawa hilo linalojengwa katika kijiji cha Sengenya
Mangaka wilayani Nanyumbu.
MIKOA 20 YA TANZANIA KUPATA MVUA KUBWA
-
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya mvua kubwa kwa
baadhi ya maeneo ya mikoa 20 nchini.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TMA...
Waziri Ndalichako azindua chuo kipya cha VETA Kagera
-
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amezindua
chuo kipya cha VETA Ndolage kilichopo Kamachumu Wilaya ya Muleba mkoani
Kagera k...
0 Comments