Mkuu wa wilaya ya Temeke Bi. Sophia Mjema
akikabidhi mashine ya kufyatulia matofali mwenyekiti wa kikundi cha
Mbagala Youth Group Said Mponda baada ya kuzipokea kutoka kwa Shirika
la Nyumba la Taifa NHC ambalo limetoa mashine kwa vikundi hivyo ili
kusaidia serikali katika kupambana na tatizo la ajira nchini kwa vijana
mashine hizo zilikabidhiwa kwa mkuu wa wilaya na Meneja wa Shirika la
Nyumba la Taifa NHC tawi la Temeke Bw. Wencenslaus Tillya. (PICHA FULLSHANGWE)
KAMPASI YA TPSC TABORA YATOA MISAADA NA KUFANYA USAFI - KITUO CHA WAZEE
IPULI-TABORA
-
Tarehe 21 Februari 2026,
Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 25 ya Chuo cha Utumishi wa
Umma Tanzania (TPSC), Kampasi ya Tabora imefanya zia...
1 hour ago
0 Comments