Kuna tetesi kuwa msanii wa Bongo flava maarufu kwa jina la
Timbulo, ambaye amepata umaarufu mkubwa kutokana na umahiri wa kuimba katika
nyimbo zake kadhaa kama Domo
Langu, Waleo Wakesho, Samson na Delilah, amekamatwa mjini Bujumbura kwa tuhuma
za kukutwa na madawa ya kulevya. Timbulo alikuwa huko katika kufanya mipango ya
kufanya maonyesho kadhaa nchini Burundi mwezi April mwaka huu.
FORLAND YAKUBALIANA NA RUVUMA, LINDI KUHUSU UHIFADHI WA MISITU
-
SERIKALI ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na serikali ya
Finland zimesaini hati ya makubaliano ya kikanda [MoU] chini ya Mradi wa
Maende...
1 hour ago
.jpg)
.jpg)
0 Comments