Kuna tetesi kuwa msanii wa Bongo flava maarufu kwa jina la
Timbulo, ambaye amepata umaarufu mkubwa kutokana na umahiri wa kuimba katika
nyimbo zake kadhaa kama Domo
Langu, Waleo Wakesho, Samson na Delilah, amekamatwa mjini Bujumbura kwa tuhuma
za kukutwa na madawa ya kulevya. Timbulo alikuwa huko katika kufanya mipango ya
kufanya maonyesho kadhaa nchini Burundi mwezi April mwaka huu.
Barrick yatoa kompyuta kwa shule ya wasichana Barbro Johnson kuwawezesha
kupata elimu kidigitali
-
Mwenyekiti wa taasisi ya Joha Trust na Mwanzilishi wa shule ya Wasichana
ya Barbro Johansson nchini, Profesa Anna Tibaijuka akiongea katika mahafali
hayo....
9 minutes ago
0 Comments