Amesema Tigo itatuma ujumbe mfupi
wa maneno kwa wateja wote wa jiji la Dar es salaam kuwapa taarifa kuhusu
maadhimisho hayo ya miaka ya 15 ya bendi ya FM
Academia.(katikati)Mwimbaji wa bendi hiyo Bw.Nyoshi El
Sadaat.(kushoto)mratibu wa onesho hilo Bw.Nasibu Mahinya.
Ofisa
Masoko wa Tigo, Alex Msigara akielezea kuhusu udhamini wao katika
maadhimisho ya miaka 15 ya bendi hiyo Mwingine ni Kiongozi wa Bendi ya
FM Academia 'Wana Ngwasuma', Nyoshi El-Sadaat
Ilala Yajipanga Kuwa Kinara wa Miji ya Kijani
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.*
*MKUU wa Wilaya ya Ilala, Mheshimiwa Edward Mpogolo, amewataka wakazi wa
wilaya hiyo kuonyesha uzalendo wa kweli kwa ...
3 hours ago
0 Comments