AMOS MAKALLA AKUTANA NA WASANII

Baadhi ya washiriki wa mkutano huo kutoka kushoto ni Mkurugeni wa Clouds Media Group Ruge Mutahaba, Mhariri wa Habari Gazeti la  Majira Suleiman Mbuguni, Herith Makwetta Mwandishi wa Habari Gazeti la  Mwananchi na  Khadija  Kalili wakifatilia  mada katika mkutano huo. 


Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Amos Makalla kushoto akizungumza na wasanii mbalimbali Dar es salaam jana juu ya ulasimishwaji wa kazi za sanaa ifikapo mapema mawkani Picha na www.burudan.blogspot.com

Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Amos Makalla kushoto akizungumza na wasanii mbalimbali Dar es salaam jana juu ya ulasimishwaji wa kazi za sanaa ifikapo mapema mawkani Picha na www.burudan.blogspot.com


Msanii wa mziki wa Injili  Bahati Bukuku akizungumza kwa uchungu jinsi wanavyoibiwa kazi zao  mbele ya Naibu waziri  Makalla.

Mmoja Kati ya wasanii wakongwe nchini Kaswahili  akitoa dukuduku lake mbele ya Waziri.




Msanii wa Filamu Jacob Steven 'JB' akizungumza wakati wa mkutano huo Picha na www.burudan.blogspot.com

Rais wa  Shirikisho la muziki Tanzania Addo November akiwasilisha mada mbele ya Naibu Waziri Makalla.

Mkurugenzi wa THT Ruge Mutahaba akizungumza wakati wa mkutano huo  picha na www.burudan.blogspot.com

Mzee Juma Ubao akitoa Dukuduku lake

 







Msanii  wa Muziki wa asili Che Mundugwao akichangia hoja kulia ni Mkurugenzi wa Radio Times Rehule Nyaulawa.

Baadhi  ya wasanii wa muziki wa Injili wakifuatilia mkutano huo


Post a Comment

0 Comments