Msanii nyota katika muziki wa Kizazi kipya almaarufu kwa jina la Mr.Blue leo amepata pigo la kufiwa na mamayake mzazi.Blogu hii inaungana na familia ya marehemu katika kipindi hiki kigumu Inshaallah mwenyeezi mungu akupe moyo wa Subra.Inna lillah wainna ilaih rajiuun.
MIRADI, MIKATABA YA KIMATAIFA KULETA FURSA KWA WANANCHI WA PANDE ZOTE ZA
MUUNGANO
-
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi (katikati)
akimpatia zawadi ya nakala ya kitabu alichokiandika kinachohusu masuala ya
mazing...
9 hours ago

0 Comments