Hii picha ilinaswa na blogu ya bongoweekend Jijini mwanza mapema mwaka huu, jamani kutawaliwa kubaya looh nimeona siyo vibaya tuka shea wote kuona mambo ya mkoloni yaani wao walikuwa wakiwaniga mababu zetu katika miti yaani hata kama walikuwa ni wahalifu inauma sana na nimeguswa sana wakati nilipokuwa naperuzi maktaba yangu.
NBAA YATOA TUZO ZA UMAHILI KATIKA UANDAAJI WA TAARIFA ZA FEDHA YA MWAKA
2024 KWA MAKAMPUNI, TAASISI NA MASHIRIKA
-
Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Laurent Deogratius Luswetula (Mb) akisoma hotuba
ya utoaji wa Tuzo za umahiri katika uandaaji wa Taarifa za Fedha ya Mwaka
20...
1 hour ago
0 Comments