Hii picha ilinaswa na blogu ya bongoweekend Jijini mwanza mapema mwaka huu, jamani kutawaliwa kubaya looh nimeona siyo vibaya tuka shea wote kuona mambo ya mkoloni yaani wao walikuwa wakiwaniga mababu zetu katika miti yaani hata kama walikuwa ni wahalifu inauma sana na nimeguswa sana wakati nilipokuwa naperuzi maktaba yangu.
SHULE ZA MSINGI MZERI NA SHULE YA SEKONDARI MISIMA ZAPEWA ELIMU YA
WANYAMAPORI NA UHIFADHI - HANDENI.
-
HANDENI, Tanga.
TIMU ya Wataalam kutoka Idara ya Wanyamapori na Kitengo cha Mawasiliano wa
Wizara ya Maliasili na Utalii wameendelea na zoezi la kut...
44 minutes ago
0 Comments