Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Kampuni ya Serengeti Breweriers Teddy Mapunda akimpongeza Mwanafuzi Fredrick Mwambafula kulia ambaye amefanikwa kupata udhamini wa kusomea uinijinia na kutoka kampuni hiyo wakati alipotambulishwa kwa wanahabari leo katika makoa makuu ya kampuni hiyo Oysterbay jijini Dar es salaam katika picha kulia ni David Shoo na Imani Lwinga Meneja Mawasiliano ya Ndani SBL.
Teknolojia : Serikali Yaombwa Kutazama Upya Ghrama za Usajili na Kodi kwa
Vyombo vya Habari vya Mtandaoni
-
Serikali imeombwa kupunguza gharama za usajili wa vyombo vya habari
mtandaoni (Online Media) ili kutoa fursa kwa vijana wengi zaidi kujiajiri.
Ombi hil...
2 hours ago

0 Comments